Msaada
Home
KUBETI
Vigezo vya kutumia Credit Cards

Vigezo vya kutumia Credit Cards

Malalamiko

Malalamiko yote kuhusiana na malipo ya akaunti ya mtandaoni yanaweza kuwasilishwa na mtumiaji kwa namna zifuatazo:

  • Kitengo cha simu: kwa +255 768 988 200

Malipo hayajapokelewa

Endapo kutakuwa na matatizo wakati wa kulipa pesa zako kwa akaunti ya mtandaoni tafadhali wasiliana na benki yako, mmiliki wa kadi. Benki inaweza kukataa muamala kwa sababu yoyote kati ya hizi:

  • Matatizo katika muda wa kuisha kwa matumizi ya kadi
  • Matatizo ya namba
  • Matatizo katika CSC CVV (tarakimu tatu za mwisho za kadi)
  • Pesa isiyotosha
  • Kadi kuisha muda wa matumizi

Haki ya malalmiko

Meridian haitohusika katika muingiliano wa miunganiko ya kimtandao au kupatikana kwa michakato ya kadi.

Ulinzi wa taarifa tengwa za miamala

Wakati wa malipo kwa kutumia kadi mtandaoni, uingizaji wa taarifa za kadi unachakatwa kwa ukurasa unaolindwa wa benki. Kampuni haina uwezo wa kuzifikia taarifa za kutoka kwenye kadi yako katika wakati wowote ule.

Wakati wa uingizaji wa taarifa za kadi ya debit, taarifa za siri zinasafirishwa kwa muundo wa mtandao wa umma uliolindwa (encrypted) kwa kutumia protokali ya SSL na wa mfumo wa PKI, ambao kwa sasa, ndiyo teknolojia mpya iliyopo.

Taarifa za kwenye kadi ya debit hazipatikani kwenye mfumo wetu wa mtandao wetu katika wakati wowote ule.