Malalamiko
Malalamiko yote kuhusiana na malipo ya akaunti ya mtandaoni yanaweza kuwasilishwa na mtumiaji kwa namna zifuatazo:
Malipo hayajapokelewa
Endapo kutakuwa na matatizo wakati wa kulipa pesa zako kwa akaunti ya mtandaoni tafadhali wasiliana na benki yako, mmiliki wa kadi. Benki inaweza kukataa muamala kwa sababu yoyote kati ya hizi:
Haki ya malalmiko
Meridian haitohusika katika muingiliano wa miunganiko ya kimtandao au kupatikana kwa michakato ya kadi.
Ulinzi wa taarifa tengwa za miamala
Wakati wa malipo kwa kutumia kadi mtandaoni, uingizaji wa taarifa za kadi unachakatwa kwa ukurasa unaolindwa wa benki. Kampuni haina uwezo wa kuzifikia taarifa za kutoka kwenye kadi yako katika wakati wowote ule.
Wakati wa uingizaji wa taarifa za kadi ya debit, taarifa za siri zinasafirishwa kwa muundo wa mtandao wa umma uliolindwa (encrypted) kwa kutumia protokali ya SSL na wa mfumo wa PKI, ambao kwa sasa, ndiyo teknolojia mpya iliyopo.
Taarifa za kwenye kadi ya debit hazipatikani kwenye mfumo wetu wa mtandao wetu katika wakati wowote ule.