Home
KASINO
Roulette – Sheria za Gemu

Roulette – Sheria za Gemu

Roulette ni gemu ambamo mhusika (dealer) anazungusha mpira ambao unaangukia kwenye poketi la gurudumu lenye namba kuanzia 0, ambalo ni la kijani, mpaka 36, ambazo zinabadilishana kuwa nyeusi na nyekundu.

Mchezaji anaweza kuweka beti kwenye kila namba moja moja pekee yake, lakini katika sekta ya namba pia, namba shufwa/witiri, nyekundu/nyeusi, juu/chini.

Wakati wa kufunguka kwa beti, yaani kwamba, kuhesabu namba kunapoanza mchezaji anaweza:

  • Kurudia beti kwa Rebet
  • Kurudi nyuma kuwa na beti aliyoichagua kwa kutumia Undo
  • Kufuta beti zote kwa Clear

Mchezaji anaweza kurekodi beti zake kwa kuziweka na kisha kubonyeza ‘save layout’ na kuseti aina ya msimamo wa beti.

Chaguzi ya “Autoplay” inafanya kazi kama ya kujirudia rudia kwa beti ya aina moja kwa muda kadhaa.

Taarifa za msingi za mhusika (dealer), ukomo wa kubeti, takwimu, na historia zinapatikana upande wa kushoto na kulia mwa skrini.

  • Ni lazima mpira uzunguke katika uelekeo unaopingana na uelekeo wa gurudum lenye namba.
  • Ni lazima mpira uzunguke kwa angalau mizunguko 4 wakati wa mizunguko.
  • Ni lazima mpira uzunguke.
  • Hakutakuwa na kitu cha nje kitakachopatikana ndani ya gurudumu.

Vinginevyo beti ni batili.